1.
Apple
moja kwa siku - hukuweka mbali na daktari.
2.
Jani
la mrihani (tulsi leaf) ukitumia kwa siku hukuweka mbali na saratani
3.
Limao kwa
siku -hukuweka mbali na unene
4.
Kikombe
cha maziwa kwa siku -hakuna tatizo la mifupa
5.
Lita tatu
za maji kwa siku- hakuna magonjwa.
![]() |
Apple |
![]() |
Mrihani(tulsi leaf) |
![]() | |
Limao |
![]() |
Glasi ya maziwa |
No comments:
Post a Comment