Monday, January 6, 2014

Njia tano bomba kwa afya yako




1.            Apple moja kwa siku - hukuweka mbali na daktari.
2.           Jani la mrihani (tulsi leaf) ukitumia kwa siku hukuweka mbali na saratani
3.           Limao kwa siku -hukuweka mbali na unene
4.           Kikombe cha maziwa kwa siku -hakuna tatizo la mifupa
5.           Lita tatu za maji kwa siku- hakuna magonjwa.

Apple
Mrihani(tulsi leaf)

Limao

Glasi ya maziwa

No comments:

Post a Comment