Monday, March 5, 2012

Samahani kwa kimya kirefu

Wasomaji wapendwa nimekuwa kimya kwa muda kidogo. Nilikuwa katika malezi. Lakini nadhani sasa naweza kuwatumikia tena katika libeneke letu hili la urembo tukiangalia afya zetu, uzuri wetu na siha njema karibuni sana.

No comments:

Post a Comment