Monday, December 24, 2012

Tuwe waangalifu na kucha za bandia

BAADHI yetu hatuna kucha zenye afya na zinazopendeza kutokana na mazingira hayo wakati mwingine tunataka kufanya mabadiliko kidogo kwa kuzingatia uwezo.
Unaweza kupata kucha za bandio zinazopendeza kama kucha zako taabu ni ununuzi na utunzaji wake. Kucha hizi hupatikana kwa wataalamu wa masuala ya urembo lakini nataka kusema pamoja na uzuri wa kucha hizo hauwezi kufikia kucha zako za asili. Kucha hizi bandia wakati mwingine huvuruga kabisa kucha zako za asili kwa hiyo zinahitaji uangalifu mkubwa wa kuziweka na utunzaji wake na ni vyema mtaalamu akakuelekeza.

Uzito mkubwa si sahihi kwa afya na urembo wako

KILA siku tunazungumzia masuala ya kuweka ngozi safi na sura bomba lakini mara zote huwa tunasahau kuzungumzia uzito ambao ama hakika ni kitu kibaya kuliko kitu chochote kile. Uzito ni sawa na uvutaji wa sigara ambao huleta matatizo makubwa kwa watu ambao wamo katika kilinge hicho. wataalamu wa afya na urembo wanasema wazi kuwa kuwa mnene kunapunguza siku namna ya kujiweka sawa katika masuala mbalimbali ya kijamii lakini pia unakuwa na muda mfupi sana wa kuishi duniani. Wataalamu wanasema kwamba kuwa mzito kunapunguza maisha yako kwa miaka mitatu na haya yamesemwa na mtafiti Gary Whitlock kutoka Clinical Trial Service Unit ya chuo kikuu cha Oxford kilichopo nchini Uingereza. Uzito huu ni ule unaokuwa mara tatu ya uzito ambao unatakiwa mtu awe nao kutokana na urefu wake,umri na pia afya yake. Ndio kusema kama mtu anakuwa na uzito mathalani paundi 150, mtu huyu anapunguza umir wake wa kuishi hapa duniani kwa miaka 10. Kwa maelezo mengine uzito wa aina hii ni sawa na uvutaji wa sigareti ambapo pamoja na kuchakaza ngozi pia hupunguza maisha ya mtu kwa miaka kumi. Ndio kusema katika urembo pamoja na kupiga vita sigareti uzito wa kuchusha nao lazima upigwe vita. Kwa waafrika kuwa mnene ni bomba, pamoja na ukweli wa kiutamadunikwamba kuwa mnene ni kutamu kwani unakuwa na nyama za kushikwa lakini ni vyema watu wakatambua kwamba uzito wa kuchusha yaani mara tatu ya ule unaostahili kuwa nao ni hatari kubwa kwa maisha yako. Onyo hili la wataalamu limefanywa baada ya uchunguzi kwa watu 894,576 waume kwa wake katika tafiti 57 zilizofanywa. ingawa tafiti hizi zilifanywa kwa watu wa Kaskazini mwa Marekani na Ulaya kwa watu wenye ujazo wa 25 (BMI) hata hapa nchini watu wanastahili kuangalia suala la uzito wao. Kwa taarifa yako uzito wa kuchusha huleta tatizo la figo, ini na aina kadha za kansa na pia hyuleta matatizo ya magonjwa ya moyo na kiharusi. Unene huleta mchosho mkubwa kwa moyo na pia kuleta mizania dhaifu ya rehemu na kusababisha shida katika mwenendo wa damu. Wanaume wenye kiuno kikubwa huongeza hatihati ya kifo wakatiw nawake wenye mzunguko mkubwa huongeza hati hati ya kifo kwa asiulimia 78.

Friday, December 21, 2012

Namna rahisi na salama ya kupunguza tumbo

Wengi wa wasomaji wamemtumia meseji za kutaka kujua njia ya kupunguza mafuta tumboni, wanawake kwa wanaume walituma maswali kwa wingi. Njia iliyosalama ya kupunguza mafuta katika tumbo au kupunguza tumbo kubwa ni ile ya kupangilia chakula na kufanya mazoezi.
Nilipata nafasi wiki hii ya kuzungumza na daktari mmoja katika hospitali ya mkoa wa Iringa ambaye sitamtaja kwa jina na alikuwa na mengi ya kuelezea jinsi hali hiyo inavyoanza na husababishwa ni nani. Alisema kuwa,kama unataka kupunguza tumbo kwa haraka basi punguza kula vyakula vyenye wanga na badala yake tumia mbogamboga na matunda kwa wingi. Vyakula kama viazi mviringo, wali mkate hukaa tumboni kwa zaidi ya siku tatu, pia ulaji wa nyama nyekundu inasababisha kuongezeka uzito na pia huongeza ukubwa wa tumbo,vyakulahivyo vinatakiwa kutumiwa kwa kiasi kidogo sana. "Kuna wakati tumbo linajitokeza na kuwa kubwa kuliko kawaida hali hiyo inasababishwa na kula vyakula vya wanga kwa wingi, kutokunywa maji ya kutosha na pia kula bila ya mpangilio maalum" anasema. Anasema kuwa kama ntu anataka kupunguza mafuta au kuondoa kitambi anatakuwa kula milo mitatu kwa siku na si kujinyima kula kwa kudhani kuwa unaweza kupungua uzito. "Vyakula vya wanga na mafuta ufanya mtu kunenepa, acha au kupunza kula vyakula vyenye wanga ili kupunguza mafuta yaliyozidi mwilini, mafuta yanaporundikana mwilini athari moja kubwa ni kuwa na tumbo kubwa." anasema. Anasema kuwa,tumbo kuwa kubwa ni dhahiri kuwa chakula unachokula hakifanyi kazi inayotakiwa, kumekuwa na ziada mwilini na hii ziada inafanyika mafuta ambayo hujiwekesha akiba katika maeneo mbalimbali ya mwili. "Kwa kuwa Chakula hiki cha ziada huwa hakitakiwi, mwili hukibadilisha na kuweka akiba katika mfumo wa mafuta kitaalamu kama glycogem.Unaweza kukabiliana na kuzidi kwa protini zinazoyeyushwa na kuwekwa katika akiba kwa mfumo huo wa mafuta" Daktari huyo anasema kuwa, mtu mwenye tatizo hilo ni bora akapangilia mlo wake kwa siku.
"Asubuhi pata kifungua kinywa kilichokamilika, pata mlo wa mchana kama kawaida na usiku kula matunda tu kunaweza kufanya mwili wako uwe katika hali inayotakiwa. "Watu wengi wanatumia wanga mwingi wakati wa usiku muda ambao unaenda kulala na ziada ya chakula haifanyi kazi vizuri zaidi ya kujikusanya, kujibadilisha na kuhifadhiwa katika maeneo mbalimbali ya mwili hasa tumboni" anasema Daktari. Je Mazoezi husaidia kupunguza uzito wa mwili na manyama uzembe? Mazoezi ya viungo yamethibitishwa kusaidia kuchoma mafuta ya ziada katika mwili. Kutokana na hali ya ulaji unaweza kutengeneza manyama uzembe katika kifua, mapaja na maeneo fulani ya tumbo ambayo yametengenezwa kupokea maeneo ya ziada yanayotokana na mafuta yenyewe au sukari iliyobadilishwa kuwa mafuta. Nishati inayotokana na nafaka ambayop haiwezi kutumika muda huo hutengenezwa kuwa mafuta na kupelekwa eneo husika. Wanaume huwa na asilimia 8 hadi 20 ya mafuta katika mwili na ni kawaida wakati kwa wanawake ni asilinia 13 hadi 25.
Unapofanya mazoezi ya viungo unaongeza hewa ya oksijeni kwa wingi katika mapafu yako na wakati huohuo mwili nao unaunguza mafuta ili kutoa nguvu kwa mwili. Mafuta yanayounguzwa kwanza ni yale ya kawaida kabla ya kuingia katika akiba. Kuna umuhimu wa kutambua kuwa mazoezi ni kitu cha bure na kama ukifanya kwa mpangilio na vizuri hutakuwa na shida ya kutengeneza shepu yako. Dk.Martica Heaner,M.A, M.Ed. ambaye hutoa mawaidha ya keep fit ndani ya MSN anasema ni jambo la heri kama mtu atakula kidogo kabla ya kuanza mazoezi ili kutoa nishati ya kutosha ya kufanyisha mazoezi. "Lakini kama unaenda mwendo fulani mdogo tu au unatembea kwa dakika 30 huenda usiwe na haja kabisa ya kula hata hicho kidogo na hasa ikiwa uliweka kitu kiogo saa tatu zilizopita" anasema.

Sunday, December 16, 2012

Waweza kuwa mwali tena kwa namna rahisi

Hili ni simulizi la mama ambaye ana miaka 53 lakini sasa anaonekana kuwa kama mwali wa miaka 27
Mary, an ordinary mom of three from Dar Es Salaam, Dar es Salaam is the perfect example of a smart consumer that bypassed the health risks and thousands of dollars of using Botox to erase her wrinkles and "reverse the clock" on life. Like most Americans, Mary makes an average salary and doesn't have the extra cash to try every celebrity endorsed Anti-Aging miracle cream out there, let alone splurge on expensive medical procedures. At one time she considered taking out loans for injecting Botox and even contemplated getting a facelift, but became frightened after researching Botox and face lift malpractice stories. Mary was determined to find a safe and affordable solution that would yield real results and not leave her in debt. After watching a television documentary on cell revival, Mary discovered two beauty product trials from trusted skin care companies Veloura & Bellagenix to unlock the secrets of anti-aging. Her results are comparable to what you might attain at Medi Spas and Doctors offices for $3000 or more, all the while using nothing but Veloura & Bellagenix. After finding Mary's shocking success story on the Internet, we thought it was important to share her story with our readers wanting to erase those wrinkles and "reverse the clock" on life. This solution has not only removed her wrinkles, but also tightened her neck and face instantly. It changed her life and we hope it can change yours too. The Solution: Mary discovered that the secret to cell revival is Polymoist-PS, an advanced formula that affects your skin at the cellular level. Polymoist-PS allows to lift off layers of dead or dying skin. After removing the top layer of skin, the soft, young skin from underneath is brought to the surface and hydrated. While researching the best anti-aging/skin care products, she discovered celebrities had been using Polymoist-PS creams for years to stay and look young. A prominent celebrity skin care doctor also revealed that using Veloura & Bellagenix with Polymoist-PS was the celebrity secret to success as it contains powerful antioxidants, vitamins, and moisturizing agents. "Based on my research, I knew Veloura & Bellagenix would deliver incredible results and the fact that I got them both as free trials was the icing on top. I never would have thought that something which is being offered for free could ever yield a better result than the more expensive anti-aging solutions." – Mary Mary's Story & 14 Day Cell Revival Results "I have to admit I do tend to jump on the bandwagon and I have tried countless anti-aging wrinkle creams such as Oil of Olay, Neutrogena, and many others to help me look young again. Unfortunately, the results were never as good as I wanted them to be. Until, one day after watching a documentary on Polymoist-PS and doing some careful research, I found Veloura & Bellagenix. I was very skeptical, but during my research I came across countless success stories and clinical studies which led me to giving them a fair try. So how did I get started? During my time researching Polymoist-PS, I discovered most of the success stories were from people who combined Veloura & Bellagenix for maximum results. These products are extremely potent anti-oxidant wrinkle reducers containing not only Polymoist-PS, but also the popular Renovage (also known as "Facelift in a Jar") and Ester-C (which is the active anti-aging compound in Vitamin C). "The instruction recommended was to apply Veloura in the morning, while applying Bellagenix before bed time." - Mary Note Like us, you might be a little doubtful about the effects of this anti-aging secret but you need to find out for yourself. ISOME HAPA ZAIDI